Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameongoza Mkutano wa Tano wa Baraza la Taifa la Biashara Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi pia Mwenyekiti wa  mkutano wa tano wa Baraza la Taifa la  Biashara  (katikati) alipokuwa akizungumza  na wajumbe wa Baraza  hilo uliofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulku Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi pia Mwenyekiti wa  mkutano wa tano wa Baraza la Taifa la  Biashara  (katikati) alipokuwa akizungumza  na wajumbe wa Baraza  hilo uliofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulku Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi pia Mwenyekiti katika  mkutano wa tano wa Baraza la Taifa la  Biashara  alipokuwa akisistiza jambo wakati alipozungumza  na wajumbe wa Baraza  hilo leo uliofanyika katika Ukumbi wa Ikulku Jijini Zanzibar.
Mawaziri wa Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa ni miongoni mwa wajumbe wa Baraza la Taifa la  Biashara wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi pia Mwenyekiti wa kikao cha tano cha Baraza hilo uliofantyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Taifa la Biashara wakipitia kuangalia mada zilizotolewa katika mkutano wa tano wa Baraza la hilo uliofanyika leo chini ya mwenyekiti wake  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Ikulku Jijini Zanzibar.
[picha na ikulu] 22/01/2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.