Habari za Punde

WAZIRI WA HABARI AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA OFISI NA HANGA LA MAASKARI KMKM KIBWENGO KASKAZINI UNGUJA.

Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezi Tabia Maulid Mwita akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mashine na Mitambo KMKM (C,D,R)Kamanda  Haji Mohamed Abuu kuhusiana na Ujenzi wa Ofisi na Hanga la Maaskari wa KMKM katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la msingi Jengo hilo Kibwengo Kaskazini Unguja Ikiwa ni Shamra Shamra za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.





 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.