Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezi Tabia Maulid Mwita akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mashine na Mitambo KMKM (C,D,R)Kamanda Haji Mohamed Abuu kuhusiana na Ujenzi wa Ofisi na Hanga la Maaskari wa KMKM katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la msingi Jengo hilo Kibwengo Kaskazini Unguja Ikiwa ni Shamra Shamra za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment