Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezi Tabia Maulid Mwita akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mashine na Mitambo KMKM (C,D,R)Kamanda Haji Mohamed Abuu kuhusiana na Ujenzi wa Ofisi na Hanga la Maaskari wa KMKM katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la msingi Jengo hilo Kibwengo Kaskazini Unguja Ikiwa ni Shamra Shamra za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
UBALOZI WA UFARANSA WAFUNGUA OFISI NDOGO JIJINI DODOMA
-
Balozi wa Ufaransa nchini Mheshimiwa Nabil Hajlaoui akimkaribisha Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax
alip...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment