Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezi Tabia Maulid Mwita akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mashine na Mitambo KMKM (C,D,R)Kamanda Haji Mohamed Abuu kuhusiana na Ujenzi wa Ofisi na Hanga la Maaskari wa KMKM katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la msingi Jengo hilo Kibwengo Kaskazini Unguja Ikiwa ni Shamra Shamra za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment