Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amekutana na Kuzungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Shia Tanzania

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa  Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya  Community)ulioongozwa Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, wakati wa mazungumzo na ujumbe huo leo ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa madhumuni ya kumpongeza Rais, wa Uongozi wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimsikiliza Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya  Community)Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge wakati wa mazungumzo akiwa na ujumbe aliofuatana nao leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa madhumuni ya kumpongeza Rais, wa Uongozi wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa  Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya  Community)ulioongozwa Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge,(wa pili kulia)  wakati wa mazungumzo yaliyofanyika leo Ikulu Jijini Zanzibar kwa madhumuni ya kumpongeza Rais, wa Uongozi wake wenye hekima
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na mgeni wake  Sheke Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya  Community)Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge,   baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na ujumbe aliofuatana nao.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.