Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya Community)ulioongozwa Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, wakati wa mazungumzo na ujumbe huo leo ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa madhumuni ya kumpongeza Rais, wa Uongozi wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimsikiliza Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya Community)Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge wakati wa mazungumzo akiwa na ujumbe aliofuatana nao leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa madhumuni ya kumpongeza Rais, wa Uongozi wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya Community)ulioongozwa Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge,(wa pili kulia) wakati wa mazungumzo yaliyofanyika leo Ikulu Jijini Zanzibar kwa madhumuni ya kumpongeza Rais, wa Uongozi wake wenye hekima
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na mgeni wake Sheke Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Shia Tanzania,(Tanzania Ithnashariya Community)Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na ujumbe aliofuatana nao.
No comments:
Post a Comment