Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dr Sada Mkuya Salum amewasilisha muelekeo wa Mpango wa maendeleo na Bajeti ya Serikali 2023/2024 na kueleza kwamba kutakua na mazingatio mahsusi ikiwemo ongezeko la Bajeti ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, pensheni ya Wastaafu na Pensheni Jamii, kuanza kulipa asilimia 3.5 ya mshahara kwa ajili ya mfuko wa huduma ya Afya, Ununuzi wa Vitendea kazi ikiwemo magari na ujenzi wa ofisi za serikali pamoja na kutoa kipaombele katika malipo ya madeni ya Wazabuni, Wakandarasi na Watumishi wa Umma.
EACOP inaheshimu haki na utu wa jamii zinazoguswa na mradi wa bomba la mafuta
-
Meneja Mkuu wa bomba la mafuta ghafi la Afrika ya Mashariki ( EACOP)
Tanzania Wendy Brown akishuhudia zoezi la utiaji saini na jamii ya Wataturu
ili ku...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment