Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar awasilisha muelekeo wa Mpango wa maendeleo na Bajeti ya Serikali 2023/2024


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar  Dr Sada Mkuya Salum amewasilisha muelekeo wa  Mpango wa maendeleo na Bajeti ya Serikali 2023/2024 na kueleza kwamba kutakua na mazingatio mahsusi ikiwemo ongezeko la Bajeti ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, pensheni ya Wastaafu na Pensheni Jamii, kuanza kulipa asilimia 3.5 ya mshahara kwa ajili ya mfuko wa huduma ya Afya, Ununuzi wa Vitendea kazi ikiwemo magari na ujenzi wa ofisi za serikali pamoja na kutoa kipaombele katika malipo ya madeni ya Wazabuni, Wakandarasi na Watumishi wa Umma.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.