SHEIKH
Ally Abdulrahaman Al Hilaal kutoka Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar, akisoma
hutuba ya Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar
Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar iliyofanyika leo
22-4-2023, baada ya Waumini wa Dini ya Kiislam kumaliza Mfungo wa Mwezi Mtukufu
wa Ramadhani
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akishiriki kuitikia dua ikisoma na Hatibu Sheikh.Ally Abdurahaman Al
Hilaal,(hayupo pichani) baada kwa Hutuba ya Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika
katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo
22-4-2023, na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
na Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Khalid Ali Mfaume
na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba, Sheria,Utumishi na
Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Zanzibar.Alhajj Othman Masoud Othman.
KADHI
Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Othman Hassan Ngwali akisoma dua baada ya kumalizika
kwa Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar iliyofanyika leo
22-4-2023.(kushoto kwake) Viongozi wa Dini na Mabalozi Wadogo Wanaifanyia Kazi
zao Zanzibar wakishiriki kuitikia dua.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein
Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaaf wa Zanzibar Alhajj Dkt. Amani Abeid
Karume, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Eid El Fitry, iliyofanyika
katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo
22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi baada ya
kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid Jamiu
Zinjibar Mazizini Wilaya ya ”B” Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023 na Kushoto
kwake) Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mussa Mahmoud Wadi
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi baada ya
kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid Jamiu
Zinjibar Mazizini Wilaya ya ”B” Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023 na Kushoto
kwake) Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mussa Mahmoud Wadi
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Balozi Mdogo wa Oman anayefanyia Kazi zake Zanzibar.Mhe.Said
Salim Al Sinawi, baada ya kumalizika kwa
Ibada ya Sala ya Eid El Fitry iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar
Mazizini Wilaya ya ”B” Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023
No comments:
Post a Comment