Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Alihutubia Baraza la Eid El Fitry Ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni EWilaya ya Mjini Unguja

MSAFARA wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi ukiongozwa na Pikipiki za Jeshi la Polisi Usalama Barabarani ukiwasili katika viwanja vya Ukumbi wa Mikutano wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja  Jijini Zanzibar kwa ajili ya kulihutubia Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi huo leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Mhe. Haroun Ali Suleiman na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrissa Mustafa Kitwana, alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrissa Adulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar,kwa ajili ya kulihutubia Baraza la Eid El Fitry, baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Salamu ya Heshima kutoka kwa Gwaride Maalum la Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU, baada ya kuwasili katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar kuhudhudhuria Baraza la Eid El Fitry leo 22-4-2023, lililofanyika katika ukumbi huo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Salamu ya Heshima kutoka kwa Gwaride Maalum la Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU, baada ya kuwasili katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar kuhudhudhuria Baraza la Eid El Fitry leo 22-4-2023, lililofanyika katika ukumbi huo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar baada ya kupokea Salamu ya Heshima kutoka Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrissa Mustafa Kitwana na (kulia kwa Rais) Kamishna wa Polisi Zanzibar (CP)Hamad Khamis Hamad, wakielekea katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni kwa ajili ya kulihutubia Baraza la Eid El Fitry leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi kulihutubia Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akifuatilia hutuba ya Baraza la Eid El Fitry, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023, na (kulia kwake)Bi.Jamila Mwinyi na (kushoto kwake) Mke wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Mama Zainab Kombo Shaib,Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhendisi Zena Ahmed Said.
VIONGOZI wa Serikali na Marais Wastaafu wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid El Fitry, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwatunza Wasomaji wa Qaswida Maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika katika kutikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na (kushoto kwa Mufti) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman.
MABALOZI Wadogo wanaofanyia Kazi zao Zanzibar wakijumuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi 

BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakijumuika katika kutikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa  Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja  Jijini Zanzibar lililohutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj  Dk.Hussein Ali Mwinyi.
VIONGOZI na Wageni waalikwa wakijumuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein akiwasalimia Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakati akiondoka katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika leo 22-4-2023 katika ukumbi huo na kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
RAIS Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt.Amani Abeid Karume akiondoka katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika leo 22-4-2023 katika ukumbi huo na kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt.Amani Karume na Rais Mstaaf wa Zanzibar Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika leo 23-4-2023 katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.