RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akitia ubani kabla ya kuaza kwa Kisomo
cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Marehemu Sheikh.Abeid Amani Karume, dua hiyo iliyofanyika
leo 7-4-2023 katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini
Unguja Jijini Zanzibar, (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh
Omar Kabi, Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar.Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza kisoma cha hitma ya
kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Marehemu Sheikh. Abeid Amani Karume, iliyofanyika leo,7-4-2023 katika ukumbi wa
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na (kushoto
kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi
NAIBU Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud
Mussa Wadi (wa kwanza ) akijumuika na Wananchi katika kisomo cha hitma na dua
ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mareheme Sheikh. Abeid Amani Karume, iliyofanyika leo 7-4-2023 katika ukumbi wa
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
SHEIKH.Jaffar Abdalla Ramadhan akihitimisha
kisoma cha Hitma na dua, ya kumuombea
Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu
Sheikh. Abeid Amani Karume, iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika katika kuitikia dua ya
kuhitimisha kisomo cha hitma na dua ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu Sheikh.Abeid Amani Karume
iliyofanyika leo 7-4-2023,katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya
ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na ((kulia kwa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango, Rais Mstaaf wa Zanzibar
Alhaj Dkt. Amani Karume na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh.Saleh Omar Kabi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim
Majaliwa.

IMAMU Mkuu wa Msikiti wa kwa Mtoro Dar es Salaam
Sheikh. Abass Ramadhan akitowa mawaidha wakati wa Maadhimisho ya Siku ya
Kumbukumbu ya Marehemu Sheikh.Abeid Amani Karume, Rais wa Kwanza wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, baada ya kumalizika kwa dua na kisomo cha
hitma cha kumuombea marehemu kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja

MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
akisoma dua baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua ya kumuombea Rais
wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu Sheikh.
Abeid Amani Karume,iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Wilaya ya Mjini Unguja leo 7-4-2023 na (kulia kwa Mufti) Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi,Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango na Rais Mstaaf wa
Zanzibar Alhaj.Dkt. Amani Karume na (kushoto kwa Mufti Mkuu ) Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa.
BAADHI ya Wananchi waliohudhuria kisoma na dua
ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Marehemu Sheikh.Abeid Amani Karume, wakiitia dua ikisoma na Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) kisomo hicho kilichofanyika
katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini
Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka shada la maua katika kaburi la
Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu
Sheikh. Abeid Amani Karume, baada ya kumalizika kwa dua na kisomo cha hitma cha
kumuombea marehemu kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment