Habari za Punde

Taasisi ya Wajane Zanzibar Yakabidhi Msaada wa Futari Kwa Wanakijiji wa Matemwe Kijini Mkoa wa Kaskazini Unguja

Mkurugenzi wa Taasisi ya kuwasaidia Wajane Zanzibar Tabia Makame Mohammed akimkabidhi mmoja wa Wanakijiji cha Matemwe Kijini Sadaka ya futari kutoka kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Huseein Ali Mwinyi kupitia Taasisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa utoaji wa sadaka  kwa Wajane ,Mayatima ,Watuwazima na wasiojiweza Unguja na Pemba .April 12,2023.
Mkurugenzi wa Taasisi ya kuwasaidia Wajane Tabia Makame Mohammed akimkabidhi mmoja miongoni mwa Wajane wa Wilaya ya Kaskizini “A” Sadaka ya futari kutoka kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Huseein Ali Mwinyi kupitia Taasisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa utoaji wa sadaka  kwa Wajane ,Mayatima ,Watuwazima na wasiojiweza Unguja na Pemba.
Mkurugenzi wa Taasisi ya kuwasaidia Wajane Zanzibar Tabia Makame Mohammed akimkabidhi mmoja wa Wazee wa Ziwatuwe Sadaka ya futari kutoka kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Huseein Ali Mwinyi kupitia Taasisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa utoaji wa sadaka  kwa Wajane ,Mayatima ,Watuwazima na wasiojiweza Unguja na Pemba


Mkurugenzi wa Taasisi ya kuwasaidia Wajane Tabia Makame Mohammed akimkabidhi mmoja wa Watoto yatima wa kituo cha One Ummah Sadaka ya futari kutoka kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Huseein Ali Mwinyi kupitia Taasisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa utoaji wa sadaka  kwa Wajane ,Mayatima ,Watuwazima na wasiojiweza Unguja na Pemba .April 12,2023.
PICHA NA FAUZIA MUSSA –MAELEZO ZANZIBAR
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.