Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimpongeza Askofu Christian Ndossa na msaidizi wake Mchungaji Stanley Tabulu mara baada ya kuwekwa Wakfu na Kuingizwa kazini katika Ibada iliofanyika Kanisa Kuu la KKKT Dayosisi ya Dodoma leo tarehe 07 Mei 2023.
Rais Dkt. Samia Aongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa
Kwanza wa Rais Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee
Dar es Salaam
-
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
aongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Jamhuri ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment