Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimpongeza Askofu Christian Ndossa na msaidizi wake Mchungaji Stanley Tabulu mara baada ya kuwekwa Wakfu na Kuingizwa kazini katika Ibada iliofanyika Kanisa Kuu la KKKT Dayosisi ya Dodoma leo tarehe 07 Mei 2023.
RAIS DKT. MWINYI APOKEA TAARIFA YA UWASILISHWAJI WA HESABU ZA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakati ukipingwa
wimbo wa...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment