Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Mahakama ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambayo ilikuwa ikiendesha shughuli zake katika jengo la Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) Jijini Arusha. Wengine pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi AICC, Balozi Daniel Ole Njolay na kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa AICC, Bw. Ephraim Mafuru
WAZIRI NDALICHAKO: WALIMU TARAJALI KUANZA KUFUNDISHWA LUGHA YA ALAMA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu
Mhe. Prof.Joyce Ndalichako akizungumza katika kilele cha wiki ya Viziwi
kitaifa k...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment