Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo alipofika kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika swala ya Ijumaa. [Picha na Ikulu] 08/09/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa nasaha zake kwa Waislamu na Waumini wa Dini ya Kiislamu leo baada ya Ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/09/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Waumini wakiitikia Dua iliyoombwa leo na Naibu Mufti wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Ngwali(wa nne kushoto) baada ya Ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/09/2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Wazee wa Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Swala ya Ijumaa leo.[Picha na Ikulu] 08/09/2023
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment