Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo alipofika kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika swala ya Ijumaa. [Picha na Ikulu] 08/09/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa nasaha zake kwa Waislamu na Waumini wa Dini ya Kiislamu leo baada ya Ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/09/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Waumini wakiitikia Dua iliyoombwa leo na Naibu Mufti wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Ngwali(wa nne kushoto) baada ya Ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/09/2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Wazee wa Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Swala ya Ijumaa leo.[Picha na Ikulu] 08/09/2023
NI NYOMI TU KILA ANAKOKWENDA MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DK.SAMIA SULUHU
HASSAN
-
*Aacha matumaini makubwa kwa wakulima wa zao la parachichi ,Chai wilayani
Rungwe
*Mashamba ambayo wawekezaji wameshindwa kuyaendeleza Serikali yaunda ti...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment