Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo alipofika kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika swala ya Ijumaa. [Picha na Ikulu] 08/09/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa nasaha zake kwa Waislamu na Waumini wa Dini ya Kiislamu leo baada ya Ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/09/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Waumini wakiitikia Dua iliyoombwa leo na Naibu Mufti wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Ngwali(wa nne kushoto) baada ya Ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 08/09/2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Wazee wa Msikiti wa Salum Mmaka,Mitiulaya Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Swala ya Ijumaa leo.[Picha na Ikulu] 08/09/2023
JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya
kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe*
*Dkt.Jafo amer...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment