Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye
ambaye ni Waziri wa Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Vijana Michezo na
Utamaduni Mhe. Balozi Gervais Abayeho (pamoja na ujumbe wake) mara baada ya
kuwasili Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 30 Oktoba, 2023.
Mwanamuziki wa Injili Rehema Simfukwe atoboa siri kuimba wimbo wa Chanzo
-
Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI maarufu katika Muziki wa Injili nchini Rehema Simfukwe amevunja
ukimya kwa mara ya kwanza kwa kuamua kutoa sababu za kut...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment