Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye
ambaye ni Waziri wa Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Vijana Michezo na
Utamaduni Mhe. Balozi Gervais Abayeho (pamoja na ujumbe wake) mara baada ya
kuwasili Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 30 Oktoba, 2023.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment