Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Azungumza na Rais wa Romania Mhe.Klaus Iohannis Ikulu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mgeni wake  Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis, alipowasili Ikulu Jijini Zanzibarb kwa mazungumzo na  kuandaliwa dhifa maalum  iliyofanyika katika viwanja vya Zanzibar ,akiwa  katika ziara yake ya Siku moja Zanzibar  leo 18-11-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mgeni wake Rais wa Romania  Mhe.Klaus Iohannis ,baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya mazungumzo  yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-11-2023  na kuhudhuria dhifa maalum iliyoandaliwa kwa ajili yake na Rais wa Zanzibar  katika viwanja vya  Ikulu, akiwa  Zanzibar kwa ziara ya siku moja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar,  na kujumuika katika dhifa maalum aliyomuandalia mgeni wake  katika  viwanja vya Ikulu leo 18-11-2023, akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar,  na kujumuika katika dhifa maalum aliyomuandalia mgeni wake  katika  viwanja vya Ikulu leo 18-11-2023, akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja wageni wake (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Romania Mama Carmen Iohannis na Rais wa Romania Mhe.Klaus Iohannis, baada ya kumaliza mazungumzo yao na Dhifa maalum aliyowaandalia katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, akiwa katika ziara yake ya Siku moja Zanzibar leo 18-11-2023


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza  katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-11-2023, wakati wa dhifa maalum aliyomuandalia  mgeni wake Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis,baada ya kumaliza  mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu, akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja
RAIS wa Romania Mhe.Klaus Iohannis  akizungumza  katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa hafla ya dhifa Maalum aliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika leo 18-11-2023, akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja



Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Dkt.Ali Mohamed Shein na (kushoto kwake) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdullah, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Said Mohammed Dimwa, wakihudhuria dhifa maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa mgeni wake Rais wa Romania Mhe.Klaus Iohannis, katika viwanja vya Ikulu,  akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku Moja Zanzibar

MABALOZI Wadogo wanaofanyia Kazi zao Zanzibar wakihudhuria katika dhifa maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar , wakati wa ziara ya siku moja ya Rais wa Romania Mhe.Klaus Iohannis Zanzibar, iliyofanyika leo 18-11-2023
VIONGOZI wa Vyama vya Siasa Zanzibar wakihudhuria  katika dhifa maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa ajili ya mgeni wake Rais wa Romania Mhe.Klaus Iohannis, iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati wa ziara yake Zabzibar kwa siku moja iliyofanyika leo 18-11-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Rais wa Romania Mhe.Klaus Iohannis na Mkewe baada ya kumaliza mazungumzo yao na dhifa maalum aliyomuandalia katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati wa ziara yake ya siku moja Zanzibar leo 18-11-2023

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.