Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe.Cassian Gallos Nyimbo akikabidhiwa vitendea Kazi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe. Rajab Yussuf Mkasaba, makabidhi hayo ya ofisi yamefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kusini Unguja leo 20-11-2023.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment