Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe.Cassian Gallos Nyimbo akikabidhiwa vitendea Kazi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe. Rajab Yussuf Mkasaba, makabidhi hayo ya ofisi yamefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kusini Unguja leo 20-11-2023.
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment