Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe.Cassian Gallos Nyimbo akikabidhiwa vitendea Kazi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe. Rajab Yussuf Mkasaba, makabidhi hayo ya ofisi yamefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kusini Unguja leo 20-11-2023.
TFRA YATOA ELIMU YA MBOLEA KWA VITENDO KUPITIA MASHAMBA DARASA MIKOA YA
LINDI NA MTWARA
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kwa kushirikiana na kampuni
za mbolea za ETG na Itracom zimefanikiwa kusambaza tani nne za mbolea kwa
ajili y...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment