RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla,
Mama Sharifa Omar Halfan na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa
Kitwana Mustafa na Viongozi mbalimbali
wa Serikali alipowasili katika ukumbi wa VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume Zanzibar, wakati akielekea Doha Nchini Qatar leo 8-12-2023,
kuhudhuria Mkutano wa Kongamano la Uchumi linalofanyika Doha Nchini Qatar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wazee wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) Zanzibar alipowasili katika ukumbi wa VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Doha Nchini Qatar leo 8-12-2023,
kuhudhuria Mkutano wa Kongamano la Uchumi linalofanyika Jijini Doha Nchini Qatar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi,
akiwa katika ukumbi wa VIP Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akizungumza na kuagana na
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Mkewe Mama
Sharifa Omar Halfan, akielekea Jijini Doha Nchini Qatar kuhudhuria Mkutano wa
Kongamano la Uchumi linalofanyika Jijini Doha
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Viongozi
mbalimbali wa Serikali, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume Zanzibar, akielekea Nchini Qatar,kuhudhuria Mkutano wa Kongamano la
Uchumi linalofanyika Jijini Doha Qatar.
No comments:
Post a Comment