Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC Insurance) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi zwadi ya Mchezaji Bora kutika Timu ya Simba Fabrice Ngoma kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 dhidi ya Timu ya Singida FG. mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibarn 3-1-2023.Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment