Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC Insurance) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi zwadi ya Mchezaji Bora kutika Timu ya Simba Fabrice Ngoma kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 dhidi ya Timu ya Singida FG. mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibarn 3-1-2023.Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment