Mshabuliaji wa Timu ya Singida FG akimiliki mpra huku mabeki wa Timu ya Simba wakijiandaa kumzuoya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi mchezo unaofanyika usiku huu Uwanja wa Amaan Complex. Timu ya Simba ikiwa mbele kwa mabao mawili dhidi ya Singida.FG.
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment