RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi Mdogo wa Oman
Anayefanyia kazi zake Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi wakati akiwasili
katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya
ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, kuhudhuria hafla ya Iftar
iliyoandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Oman Zanzibar jana 4-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa wageni
waalikwa baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftari maalum iliyoandaliwa na Ubalozi
Mdogo wa Oman Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
jana 4-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa wageni
waalikwa baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftari maalum iliyoandaliwa na Ubalozi
Mdogo wa Oman Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
jana 4-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na Balozi
Mdogo wa Oman anayefanyia kazi zake Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi, baada
ya kumsalizika kwa Iftari maalum iliyoandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Oman
Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar jana 4-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na Balozi Mdogo wa Oman
anayefanyia Kazi zake Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi (kushoto kwa Rais) na
(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana
Mustafa, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftari maalum iliyoandaliwa na Ubalozi
Mdogo wa Oman Zanzibar, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar jana 4-4-2024.
No comments:
Post a Comment