Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ambae Pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM Taifa Ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar leo 19-5-2024W

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dkt. Emmanuel J.Nchimbi, alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika leo 19-5-2024
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika leo 19-5-2024 katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika leo 19-5-2024 katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar




 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.