NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM
Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi, akiungana na viongozi wa Vijana na Vijana wa UVCCM
Mkoa wa Kaskazini Pemba, katika matembezi maalumu yalioanzia Kifumbi kai hadi
Ofisi za Chama Mkoa wa Huo Bopwe.
NAIBU Katibu Mkuu
UVCCM Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa
Kaskazini Pemba Mzee Mberwa Hamad Mberwa, mara baada ya kuwasili katika ofisi
za Mkoa wa Kaskazini Pemba, kwa ajili ya kuzungumza na Vijana wa UVCCM Mkoa huo.
NAIBU Katibu Mkuu
UVCCM Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi, akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa CCM
Mkoa wa Kaskazini Pemba Mzee Mberwa Hamad Mbarwa, mara baada ya kuwasili katika
ofisi za Chama Mkoa huo, kwa ajili ya kuzungumza na vijana wa Mkoa huo.
NAIBU Katibu Mkuu
UVCCM Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi,akipokea taarifa ya umoja wa Vijana CCM Mkoa
wa Kaskazini Pemba kutoka kwa kaimu katibu wa UVCCM mkoa wa Kakazini Pemba Shakila
Mwihaji Faki, mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM Mkoa huo
NAIBU Katibu Mkuu UVCCM
Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi, akizungumza wakati alipotembelea mradi wa maduka wa
Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba huko Wete
No comments:
Post a Comment