Habari za Punde

IGP Wambura Mwenyekiti Mpya wa SARPCCO

 

Matukio mbalimbali pichani yakimuonesha Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Camillus Wambura akikabidhiwa uenyekiti wa  Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi kutoka nchi za  Kusini mwa Afrika (SARPCCO) kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Zambia IGP Graphel Musamba ambaye amemaliza muda wake wa kuliongoza shirikisho hilo.

Makabidhiano hayo ya uenyekiti wa SARPCCO yamefanyika Lusaka Zambia kupitia mkutano wa 29 wa shirikisho hilo unaofanyika nchini humo.



                                          


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.