Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Maoinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Azungumza na Katibu Mkuu wa UWT Ikulu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Jumuiya za Chama cha Mapinduzi (CCM) ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Bi.Suzan Peter Kunambi, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-6-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Bi.Suzan Peter Kunambi pamoja na ujumbe wake wa Viongozi wa Jumuiya za Chama cha Mapinduzi, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar,alipofika kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 26-6-2024. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Bi. Suzan Peter Kunambi na Ujumbe wake wa Viongozi wa Jumuiya za CCM, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-6-2024

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.