Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Ofisi ya Tume Maisara Zanzibar

MUNEKANO wa Jengo la Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambalo limeweka Jiwe la Msingi la ujenzi wake leo 6-1-2025 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdalla, alipowasili katika viwanja vya Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Wilaya ya Mjini Unguja, kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mshauri Elekezi wa Wakala wa Majengo Zanzibar (ZBA) Ashura Simai akitowa maelezo ya michoro ya picha ya Jengo la Tume ya Uchaguzi Zanzibar, kabla ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi huo, na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mshauri Elekezi wa Wakala wa Majengo Zanzibar (ZBA) Ashura Simai akitowa maelezo ya michoro ya picha ya Jengo la Tume ya Uchaguzi Zanzibar, kabla ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi huo, na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said,ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo la Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Maisara Wilaya ya Mjini Unguja leo 6-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi katika hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi Jengo la Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Maisara Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 6-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.


WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakifuatilia hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Ofisi za Tume Maisara Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 6-1-2025,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wananchi katika viwanja vya Tume Maisara leo 6-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
BAADHI ya Mawaziri na Wakuu wa Taasisi za Serikali wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar maisara Wilaya ya Mjini Unguja uliyofanyika leo 6-1-2025,ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.