Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Azungumza na Msanii Maareufu wa Muziki wa Kizazi Kipya Mbosso Ikulu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Msanii maarufu wa muziki wa Bongoflava Tanzania  (Mbosso) Mbwana Yusuph Kirungi, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumkabidhi Albamu ya nyimbo maalumu ya kumpongeza kwa juhudi zake katika kuleta maendeleo kwa Wananchi wa Zanzibar, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 17-2-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Msanii maarufu wa muziki Tanzania (Mbosso) Mbwana Yusuph Kirungi, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-2-2025 na kumkabidhi nyimbo maalumu ya kumpongeza, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Albam ya nyimbo maalumu ya kumpongeza kwa juhudi zake za kuleta maendelea Zanzibar, akikabidhiwa na Msanii maarufu wa muziki wa Bongoflava Tanzania (MBOSSO) Mbwana Yusuph Kirungi, baada ya kumaliza mazungumzo na msanii huyo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-2-2025
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.