RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanja vya
Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar kwa ajili ya kulifungua Kongamano la Kwanza la
Kitaaluma la Utumishi wa Umma, lililofanyika leo 17-6-2025 katika ukumbi wa
hoteli hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalumu ya Heshima,
wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kwanza la Kitaaluma la Utumishi wa Umma,
akikabidhiwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora Tanzania Mhe.Deus Clement Sangu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Dkt.Haroun Ali Suleiman,
(wakiwa kushoto kwa Rais) hafla hiyo ya ufunguzi wa Kongamano hilo uliyofanyika
katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
leo 17-6-2025.

WASHIRIKI wa Kongamano la Kwanza la Kitaaluma la
Utumishi wa Umma wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano hilo wakati Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika
ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni,Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo
17-6-2025
WASHIRIKI wa Kongamano la Kwanza la Kitaaluma la
Utumishi wa Umma wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano hilo wakati Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika
ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni,Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo
17-6-2025
WASHIRIKI wa Kongamano la Kwanza la Kitaaluma la
Utumishi wa Umma wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano hilo wakati Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika
ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni,Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo
17-6-2025.
WASHIRIKI wa Kongamano la Kwanza la Kitaaluma la
Utumishi wa Umma wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano hilo wakati Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika
ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni,Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo
17-6-2025
No comments:
Post a Comment