Habari za Punde

Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe Zanzibar Mohammed Manzi Akiwasili katika Viwanja vya Afisi ya Wilaya ya Dimani Kichama Kiembesamaki

WAGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Mwanakwerekwe Zanzibar wakiwasili katika viwanja vya Ofisi za Wilaya Dimani Kichama Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi “B”Unguja kwa ajili ya kujianda kuelekea katika Ofisi za Uchaguzi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kuchukua Fomu za Uteuzi kugombea Uwakilishi na Udiwani katika Jimbo ka Mwanakwerekwe Zanzibar.  

MGOMBEA Uwakilishi Jimbo la Mwanakwerekwe Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Mohammed Manzi Haji (katikati) akiwa na Wagombea wezake wa Jimbo la Mwanakwerekwe Zanzibar kwa Nafasi ya Ubunge na Udiwani wa CCM, wakiwa katika viwanja vya Afisi ya Wilaya ya Dimani Kichama Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakijiandaa kuelekea Ofisi za Uchaguzi Wilaya ya Magharibi “B” Mazizini kwa ajili ya kuchukua Fomu za Uteuzi Kugombea nafasi ya Uwakilishi na Udiwani.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.