Wagombea Uwakilishi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Wilaya ya Mjini Unguja, wakimsikiliza Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wakati akitowa maelezo kabla ya kuwakabidhi Fomu za Uteuzi wa Kongombea Uwakilishi katika Majimbo yao (kutoka kulia) Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kikwajuni Mhe. Seif Kombo Pandu, Mgombea Uwakilishi Jimbo la Mapindi Mhe.Abdulhan Ismail Zuberi, Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kwahani Mhe. Mohammed Sijaamini Mohammed na Mgombea Uwakilshi Jimbo la Jangombe Mhe. Ali Gulam.
ULEGA AOMBA KURA KWA AJILI YA DKT. SAMIA, UBUNGE NA MADIWANI MKURANGA
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga, Mkoa wa Pwani kwa tiketi ya Chama Cha
Mapinduzi (CCM),Alhaj Abdallah Ulega, leo Jumatatu Septemba 8, 2025
ameendelea...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment