Habari za Punde

Wagombea Uwakilishi Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Majimbo ya Kikwajuni,Jangombe, Kwahani na Malindi Wachukua Fomu ya Uteuzi wa Kugombea Uwakilishi Ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Wilaya ya Mjini Maisara

Wagombea Uwakilishi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Wilaya ya Mjini Unguja, wakimsikiliza Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wakati akitowa maelezo kabla ya kuwakabidhi Fomu za Uteuzi wa Kongombea Uwakilishi katika Majimbo yao (kutoka kulia) Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kikwajuni Mhe. Seif Kombo Pandu, Mgombea Uwakilishi Jimbo la Mapindi Mhe.Abdulhan Ismail Zuberi, Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kwahani Mhe. Mohammed Sijaamini Mohammed na Mgombea Uwakilshi Jimbo la Jangombe Mhe. Ali Gulam. 








No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.