



Tunawatakia Waumini wote wa Kiislamu Mfungo wa Ramadhaan utakaokuwa na kheri na baraka na pia kupata dhumuni kuu la kuachiwa huru na moto InshaAllah.
Huu ni mwezi ulioteremshwa Quraan hivyo nasi tujifunge katika kuisoma na kuizingatia hasa ikiwa wasio na mikono hufanya jitihada za ziada kujifunza na kuisoma seuze sisi tuliojaaliwa viungo kamili.
Ramadhaan Mubaarak
No comments:
Post a Comment