Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
SHEIKH JABIR HAIDAR AL FARSY ameariki dunia, Usiku wa kuamkia Jumatano-28.5.25. Maziko yatafanyika Leo Alhamisi 29.5.25, kwa wanawake wataku...
-
akamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza jambo na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lam...
-
Katibu wa Chama cha ACT -Wazalendo Wa Jimbo la Tanga Mohamed Salim Ponda (kushoto) akimkabidhi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea Ubu...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Miundombinu, Usafirishaji na Utalii wa Japan, Mheshimiwa Hiromasa Nakano...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Japan Ishiba Shigeru kwenye mazungumzo rasmi yaliyolenga kuimarisha uhusiano wa k...
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiweka jiwe la msingi, kuashir...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza katika Majadiliano ya Viongozi wa Juu kuhusu “Umuhimu...
-
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi m...
-
Serikali imetoa onyo kali kwa watu na kampuni zinazoendelea kuzalisha bidhaa za mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku na kuingiza katika ...
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Ha...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
TAKUKURU TANGA YABORESHA MFUMO WA HUDUMA ZA UDHIBITI TAKA NGUMU JIJINI TANGA - Na Oscar Assenga, TANGA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Tanga (Takukuru) imesema kwamba moja ya mafanikio ya utendaji wake kazi katika kip...2 days ago
-
Habari : TAKUKURU Yaokoa zaidi ya milioni 300 zilizopotea kupitia akaunti feki ya kijiji cha Msufini, Pwani - Na Khadija Kalili, Michuzi TV Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani katika kipindi cha Januari hadi Machi 2025 ilifanikiwa...2 days ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl6 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA KIDATO CHA PILI, DARASA LA SITA NA DARASA LA NNE YA MWAKA 2017, JUMATATU TAREHE 29 JANUARI 2018....
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...
Mzee Mapara,
ReplyDeleteKwanza tunakushukuru kwa kazi yako nzuri ya kutuelimisha na kutuhabarisha kwa njia ya picha. Tumeona picha za uzinduzi wa kampeni ya CCM na CUF kule Unguja. Kwa kweli picha picha zilikuwa safi sana ile mbaya.Tunakushukuru kwa hilo.
Pia tumeona picha za uzinduzi wa kampeni za CCM Pemba nazo pia ziko safi. Lakini naona sijaona picha za uzinduzi wa CUF Pemba ambazo zilikuwa siku moja kabla ya uzinduzi wa CCM. Vipi hukupata wasaa wa kwenda au vipi?
Mdau
USA
Ahsante Mdau kutoka USA kwa kuonesha upeo wa kujali kazi hii ya kublog.
ReplyDeletePicha za kampeni ya Pemba sikubahatika kuzipata kwani sikupangwa kwenda kucover tukio hilo wala la CCM kwani za CCM nimezipata kutoka kwa Ramadhan Othman ambae ni mpiga picha wa Rais.
Hata hivyo tuliweka tangazo katika blog kwamba tunakaribisha habari, picha na matukio ya kampeni kutoka chama chochote cha siasa ila ima hatujabahatika kupokea picha kutoka sehemu yoyote isipokuwa CCM kupitia kwa mpiga picha wa Rais.
Kazi hii pia tunaifanya katika mazingira magumu kwani hutegemea Kompyuta ya kazini kupandisha picha na sina Kompyuta yangu mwenyewe wala hakuna msaada wowote kutoka sehemu yoyote kwa hivyo tutakachojaaliwa kupandisha tunawaomba wadau mtushukuru kwa hilo kwani kazi hii ya kublog kama huna zana zako mwenyewe kamili inakuwa ngumu na hasa kwa mazingira yetu.
Siku nyengine hujaribu kupandisha mara huduma ya mtandao imekorofisha au usubiri mpaka Kompyuta iwe haina kazi na kadhalika.
Ila tunajaribu kwenda hivyo hivyo mambo mdundo
Nafikiri Mdau umenielewa
Salaam Maalim Mapara,
ReplyDeleteNimekuelewa kuhusu lile suala la picha za ufunguzi wa Kampeni ya CUF Pemba.
I really appreciate what you do. Keep it up!
Kazi yako ni kazi ya kishujaa. Hatuna cha kukupa isipokuwa asante!
Mdau
USA.