Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein,akisalimiana na Mbunge wajimbo la Amani Mussa Hassn Mussa,wakati wa sherehe ya kuapisha Waziri Mkuu Pinda,huko Chimwaga Dodoma
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein,akisalimiana na baadhi ya Wabunge wa Majimbo mbali mbali,wakati wa sherehe ya kuapisha waziri Mkuu Pinda
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akisalimiana na Mbunge wa CUF Hamad Rashid Mohammed wakati wa sherehe ya kuapisha waziri Mkuu Pinda
Picha zote na Ramadhan Othman Ikulu
No comments:
Post a Comment