Staili za wazee wetu. Umeiona ilivyokoza? Uzamani huo
Hii ndiyo iliyokuwa ikiitwa barabara- unapita tu - Uzamani huo
Haya ndio machenza ati yakikwanguliwa tayari kurudiwa tena mpaka ikolee- Uzamani
Huu sijui niuiteje ila ni usasa
Huyu ni mtalii katika usasa wa Piko
Huyi ni mtarajiwa katika usasa
Huyu alikuwa akitafuta cha kukitafuta katika usasa
Hawa walikuwa na mtarajiwa katika usasa
Hawa ni wageni ambao wamependeza katika usasa
Huyu bado anao uzamani wa kuwekwa kitako.
Nani zaidi staili za zamani au za kileo?
MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA WATUMISHI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI
ITALIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akisalimiana na Watumishi mbalimbali wa Balozi wa Tanzania nchini Italia
wakati...
16 hours ago
No comments:
Post a Comment