BARABARA ya kwenda Shangani ikiwa na tangazo la kutoruhusu magari ya mizigo yanayozidi tani mbili kuingia katika Mji Mkongwe kupitia barabara hii kama linavyosomeka bango hilo lililowekwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Mji Mkongwe Zanzibar.
Ufungaji wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Chumbuni Zanzibar
Viwanja vya Avenja
-
Shamrashamra za ufungaji wa mkutano ya Kampeni wa Chama Cha Mapiduzi (CCM)
za Ubunge,Uwakilishi na Udiwani Jimbo la Chumbuni Zanzibar , kwa onesho la
Uta...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment