ASKARI wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakiwa na boksi la bidhaa mbalimbali walivyokamata kwa mfanyabiashara wa kutembeza akiwa anafanya biashara sehemu zisizoruhusiwa kufanya biashara katika baadhi ya mitaa ya mji mkongwe.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
1 hour ago
0 Comments