ASKARI wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakiwa na boksi la bidhaa mbalimbali walivyokamata kwa mfanyabiashara wa kutembeza akiwa anafanya biashara sehemu zisizoruhusiwa kufanya biashara katika baadhi ya mitaa ya mji mkongwe.
MAJALIWA ATETA NA WAZIRI MKUU WA CÔTE D'IVOIRE
-
-Wakubaliana kuanzishwa kwa Jukwaa la Wafanyabiashara
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire,
Robert Beugre Mambe na kujadil...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment