Habari za Punde

100% MZANZIBARI NDANI YA STONE STOWN JUMAMOSI 26/11/11

Expect the unexpected when 100% Zanzibari hits Stonetown this Saturday to bring you 'Maridhiano Day' celebrations.

When: Saturday, 26 November 2011
Where: The Old Fort (Amphitheater)
Time: 8.30 pm
On stage: Mkota Ngoma (The Devil Dancers from Mkoani, Pemba) + Unguja Taarab All-stars


ENTRANCE IS FREE THANKS TO OUR FAMILY OF SUPPORTERS!!!

2 comments:

  1. Sasa huyu jamaa kutafuna kuku (sijui kama ni kuku wa kweli au la) huu ni utamaduni wetu? Hii kwa maoni yangu inaweza kuwatisha wageni kwenda kuangalia onyesho kwa kuwa ni wazi inaonesha ukatili wa wanyama na haileti picha nzuri.

    ReplyDelete
  2. Ah..zenj kuna anaejali ukatili dhidi ya wanyama? Punda wanapigwa kwa mapauro mpaka wanakatwa maskio M/makumbi..watu kimyaaa!!!

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.