Habari za Punde

DIWANI wa Wadi ya Fuoni, Shaka Hamdu Shaka (kushoto), akikabidhi jezi za mpira wa miguu zenye thamani ya shilingi 302,000, na mipira, kwa nahodha wa timu ya Kweche ya Fuoni Migombani, Abubakar Amin. Makabidhiano hayo yalifanyika jana huko Fuoni. (Picha na Abdallah

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.