Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya
Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati,katika utekelezaji wa mpango wa kazi za
Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya
Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati,katika utekelezaji wa mpango wa kazi za
Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar jana,(kushoto) Makamo wa Kwanza
wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad.
Baadhi ya watendaji wa Idara mbali mbali za Wizara ya
Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,alipokuwa
akizungumza nao katika mpango wake wa kuzungumza na kila Wizara katika
ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
No comments:
Post a Comment