Habari za Punde

Moja ya Mitaa katika Mji Mkongwe

Mdau tayari umeshapita mtaa huu na unaukumbuka uko wapi na eneo gani kati stone town. kazi kwako.

2 comments:

  1. Gizenga street hurumzi.

    ReplyDelete
  2. Hii sio Hurumzi. Hapa ni Mkunazini kutokea kwa Batash kwendea Majestic upande wa kushoto kuna msikiti mbele(Kwa Shariff) na kulia enzi hizo kulikuwa na hospitali ya meno na mbele zaidi nakumbuka kulikuwa na hoteli ya Flamingo na duka la Budda la vifaa vya magari. Sina hakika kuwa mpaka leo hali ni hiyo. Nina mwaka wa tisa sijakanyaga Zanzibar. Hivi naelezea naona kama natembea vichochoroni.
    Thanks Mapara.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.