Wadau wote napenda kuwatangazia kuwa nimefungua blog yangu ambayo itakuwa ikitoa taarifa za matukio mbalimbali hapa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Naomba wadau wote msaidie kukuza blog hii kwa maendeleo ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. blog yenyeni ni http://www.kweupe.blogspot.com/.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment