Habari za Punde

Dk Bilal afutarisha Chakechake Pemba

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya Viongozi na wananchi wa Kisiwa cha Pemba, katika Futari aliyowaandalia wananchi hao na kufutaru nao kwa pamoja katika Ukumbi wa Makonyo Chakechake Pemba jana Agosti 14, 2012.
 Wake wa Makamu wa Rais, Mama Zakia Bilal (katikati) Mama Asha Bilal (wa pili kulia) wakijumuika na wananchi katika hafla ya futari yapamoja iliyoandaliwa na Makamu wa Rais iliyofanyika katika Ukumb wa MakonyoChakechake Pemba jana Agosti 14, 2012
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya wananchi wa Kisiwa cha Pemba,baada ya hafla fupi ya futari aliyowaandalia wananchi hao na kufuturu naopamoja katika Ukumbi wa Makonyo Chakechake Pemba jana Agosti 14, 2012
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya wananchi wa Kisiwa cha Pemba,baada ya hafla fupi ya futari aliyowaandalia wananchi hao na kufuturu naopamoja katika Ukumbi wa Makonyo Chakechake Pemba jana Agosti 14, 2012

Picha zote na Muhiddin Sufiani OMR

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.