Habari za Punde

Mawaziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania na Zanzibar Watembelea Ofisi za Tume ya Mabadiliko ya Katiba Dar Leo

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mstaafu Joseph Warioba (kushoto) akiongea na Mawaziri wa Katiba na Sheria kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Mathias Chikawe (kulia) na Abubakar Khamis Bakari (kulia kwa Jaji Warioba) nje ya ofisi za Tume mara baadaya Mawaziri kutembelea ofisi za Tume leo. Katikati Naibu wa Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki na wengine ni watendaji kutoka Tume na Wizara za Katiba na Sheria (Picha na Tume ya Katiba).
Mkuu wa Kitengo cha Taarifa Rasmikatika Tume ya Mabadiliko ya Katiba Hanifa Masaninga (kushoto) akitoa maelezo jinsi sauti zenye maoni ya wananchi zilizorekodiwa mikoani zinavyofanyiwa kazi, akitowa maelezo hayo  kwa Mawaziri wa Katiba na Sheria kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano, MathiasChikawe (kwa pili kulia) na Abubakar Khamis Bakari wa Serikali ya MapinduziZanzibar (watatu kushoto) na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki(kulia). Wa pili kushoto ni Katibu wa Tume Assaa Rashid
  Mkuu wa Kitengo cha Utafitikatika Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mohammed Khamis Hamad (kulia) akiwaelezajinsi maoni ya wananchi yanavyopokelewa kutoka katika mitandao ya kijamiiMawaziri wa Katiba na Sheria kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bw.AbubakarKhamis Bakari (kushoto), Bw. Mathias Chikawe kutoka Serikali ya Jamhuri yaMuungano na Naibu wake Angellah Kairuki 
Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia  ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Mabadiliko ya Katiba  Shaaban Chum (kushoto) akiwaeleza  Mawazir i wa  Katiba na Sheria  kutoka Serikali ya Mapinduzi  Zanzibar, Abubakar  Khamis  Bakari (wa pili kulia) na wa Serikali ya Jamhuri  ya  Muungano, Mathias  Chikawe (wa pili kushoto) na Naibu wake Angellah Kairuki. Mwingine ni Katibu wa Tume Assaa Rashid

2 comments:

  1. danganya wazanzibari hio , wenye macho wameona , muungano hautakiwi hata mkijidai kuwapa huo ukuu wa vitengo vyote kama mnayvoonyesha kwenye hizo picha akina mohamedi na shabani na hanifa , hamuwezi kuwahadaa wenye akili

    ReplyDelete
  2. enyi akina shabani , mwamedi and hanifa, tambueni kuwa mnatumiwa na watanganyika kutengeneza katiba wanayoitaka wao , mjue haki za waznz ziko mikononi mwenu na mtaziuza , kwa mwangalio wangu nyote dhaifu hamna uwezo wa kusema hata kwi! Huenda mkafaidika kutokana na hili lakini ni kuwa muda tu ambao mtakuwepo hapa duniani , siku mtakayoonana na Mola wenu ndipo mtajua yale mliyoyafanya na kuyasimamia , ukumbusho utawafaa wenye kuzingatia

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.