Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ofisi ya Zanzibar Balozi Silima
K.Haji,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Mkurugenzui wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ofisi ya Zanzibar Balozi Silima K.Haji,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
21 minutes ago
danganya toto nyengine ya muungano , kwa vipofu wenye macho lakini hawaoni, wana masikio lakini viziwi , wana midomo lakini mabubu
ReplyDelete