Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ofisi ya Zanzibar Balozi Silima
K.Haji,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Mkurugenzui wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ofisi ya Zanzibar Balozi Silima K.Haji,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
4 hours ago

danganya toto nyengine ya muungano , kwa vipofu wenye macho lakini hawaoni, wana masikio lakini viziwi , wana midomo lakini mabubu
ReplyDelete