WAZIRI wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawake na Watoto Mhe. Zainab Omar Mohammed, akimkabidhi zawadi za Mkono wa Eid kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo, a akimuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kutowa mkono wa Eid Al Hajj
WAZIRI asiyekuwa na Wizara Maalum Mhe Shawana Buheti akimuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kutowa mkono wa Eid Al Hajj kwa Wazee wa Nyumba ya Wazee Sebleni.
WAZIRI asiyekuwa na Wizara Maalum Mhe Shawana Buheti akimuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kutowa mkono wa Eid Al Hajj kwa Wazee wa Nyumba ya Wazee Sebleni.
DC CHIRUKILE AZINDUA MAFUNZO YA MAAFA SUMBAWANGA ASISITIZA UTAYARI MAPEMA
-
Na Mwandishi wetu- RUKWA
Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga na Mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi wa Maafa
ya Wilaya, Mhe. Nyakia Ally Chirukile, amezindua rasm...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment