Kaimu Mratibu wa
Tumue ya Ukimwi Zanzibar tawi la Pemba Ali Mbarouk Omar, akifafanua jambo
kwenye kikao maalum cha kufanya tathimini juu ya kazi za kupiga vita ungonjwa
wa Ukimwi na unyanyapaa, kwa viongozi wa asasi za kiraia Kisiwani Pemba, kikao
hicho kilifanyika jana ukumbi wa Tume ya Ukimwi Chake chake Pemba, (picha na Haji Nassor, Pemba )
ZIMBABWE YATAMBUA MCHANGO WA TANZANIA UKOMBOZI WA NCHI KUSINI MWA AFRIKA
-
*Zimbabwe yaiheshimu Tanzania kwa mchango wake katika ukombozi wa Kusini
mwa Afrika
SERIKALI ya Zimbabwe leo imetoa heshima na shukrani kwa Tanzania kw...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment