AFISA Mdhamini Afisi ya Rais na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Pemba Al-hajjat Jokha Khamis Makame akipanda mnara wa
kuongozea meli uliopo Kigomasha Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba,
anaeshuka ni Mkurugenzi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Zanzibar, Naimu
Ramadhan Pandu wakati ujumbe huo ulipofika huko kwa ajili ya kuangalia utendaji
wa kazi wa mnara huo (picha na Haji
Nassor, Pemba
Naibu Waziri Mhe.Pinda Akabidhi Baskeli kwa Watu Wenye Ulemavu Jimbo la
Kavuu
-
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la
Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi Mhe, Geophrey Pinda
(Kusho...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment