Habari za Punde

Uwanja wa michezo wa ndani ( Indoor) wanukia Pemba

 Mratibu wa Kamisheni ya Utamaduni na Michezo Pemba, Juma Ali David, (kulia) akiwapa maelezo wajumbe kutoka Ubalozi wa Japan Nchini Tanzania, juu ya eneo litakalojengwa uwanja wa Michezo ya ndani, huko Gombani Chake Chake Pemba jana, wapili kulia ni Rais wa chama cha Judo Zanzibar,Tsuyoshi Shimahoka (Abdulhalim),akifuatiwa na Afisa Miradi kutoa ubalozi wa Japan Sayaka Morita,
Afisa miradi kutoka ubalozi wa japani nchini tanzania, Sayaka Morita akiwa na rais wa chama cha judo zanzibar Tsuyoshi Shimahoka,
(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.