Habari za Punde

Kikao cha Baraza kufanyika Kesho


 Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Yahya Khamis Hamad, akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali katika ukumbi mdogo wa Baraza Chukwani, kuhusiana na matayarisho ya Mkutano wa Kumi wa Baraza unaotarajiwa kufanyika kesho na kuwasiliswa Maswali na Majibu 117 na  Kusomwa Miswada Minne ya Sheria. 
 Waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu wa Baraza akitowa Taarifa ya Kikao cha Baraza.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.