Kadhi Mkuu wa Zanzibar Shekh Khamis Haji Khamis, akitowa maelezo kabla ya kuaza kwa Maulid ya kusherehekea kuzaliwa kawa Mtume SAW yaliofanyika katika viwanja vya Maisara 
Shekh. Mohammed Kassim wa Kamisheni ya Wakfu Zanzibar akisoma hutba ya kiswahili wakati wa sherehe za maulid ya kuzaliwa Mtume SAW yaliofanyika katika viwanja vya maisara na kuhudhuriwa na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar
WANAFUNZI wa Madrasatul mbalimbali wakihudhuria maadhimisho ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume (SAW)
yaliofanyika kkitaifa katika viwanja vya Maisara,
USTADH Waziri Hassan, akisoma mlango wa Dua ya
Barzanji, ikiwa ni kuhitimisha maulidi ya kuzaliwa Mtume (SAW) yaliofanyika
katika viwanja vya maisara na kuhudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Waumini wa Dini Kiislam.
Yameadhimishwa kitaifa katika viwanja vya maisara Zanzibar
Wananchi Waumini wa Dini ya Kiislam wakimsalima Mtume katikamaulid ya Kuzaliwa Mtume SAW, yaliofanyika katika viwanja vya maisara jana usiku.
Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekh. Saleh Omar Kabbi, akisoma Dua kuhitimisha Maulid ya Kuzaliwa Mtume SAW, yaliofanyika kitaifakatika viwanja vya Maisara. Mjini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment