Habari za Punde

Mama Asha azindua kikundi cha Ushirika Hatubaguani, Mtofaani Mwera

  Mke wa Makamu a Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wanawake wa Kikundi cha Ushirika cha Hatubaguani,Mtofaani Mwera.
 Katibu wa Kikundi cha Hatubaguani Mwera Mtofaani akisoma Risala ya Kikundi chao katika sherehe ya uzinduzi huo uliofanywa na Mama Asha Balozi , katika Ofisi yao ya Muda
 Mama Asha akitowa nasaha zake kwa Wanachama wa Hutubaguani baada ya kukizindua rasmin jana na kukichangia shilingi laki nne kutunisha mfuko wao wa kuweka na kukopa.
Baadhi wa wanachama wa Kikundi cha Hatubaguani Mtofaani Mwera kinachojishughulisha na Kazi za kilima cha mbogamboga, kutengeneza sabuni na majiko wakimsikiliza Mama Asha katika uzinduzi huo na kilikusanya mchango wa papo kwa papo cha shilingi laki moja na elfu tisini.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.