Wananchi wa Shehia ya Muembemakumbi wakiwa katika kituo chja kupiga Kura kuwachaguwa Wawakilishi wake kuwawakilisha katika Baraza la Katiba katika Wilaya ya Mjini jumla ya Wajumbe watatu watachaguliwa katika uchaguzi huo.
Wananchi wa Shehia ya Muembemakumbi wakijiandikisha kabla ya kupiga kura kuchagua wajumbe wa Baraza la Katiba
Wananchi wa Shehia ya Muembemakumbi wakisubiri kupiga kura katika kituo hicho kuchagua wajumbe wa baraza la katiba
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment